2 d - ็ฟป่ฏ‘

๐Œ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐‡๐š๐ฒ๐š ๐‡๐š๐ฒ๐š๐ฉ๐จ๐ง๐ข ๐Š๐ฐ๐š ๐ƒ๐š๐ฐ๐šโ€ฆ ๐˜๐š๐ง๐š๐ฉ๐จ๐ง๐š ๐Š๐ฐ๐š ๐”๐š๐ฆ๐ฎ๐ณ๐ข ๐Œ๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐–๐š๐ญ๐ฎ ๐‡๐ฎ๐จ๐ ๐จ๐ฉ๐š ๐Š๐ฎ๐œ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ๐š.

Kuna maumivu ambayo hayahusiani na maradhi โ€” yanahusiana na watu.
Na ukweli ambao wengi hawataki kuusikia ni huu: sio kila kitu kinahitaji uvumilivu, vingine vinahitaji umbali.

Unaweza kumeza dawa, kuomba ushauri, kujipa mudaโ€ฆ lakini kama chanzo cha maumivu bado kipo karibu, utabaki kuumia kimya kimya.

Watu wachache sana wana ujasiri wa kuchagua amani yao kuliko kuogopa kuonekana wabaya.
Wengi hubaki wakiteseka kwa sababu wanaogopa kuondoka.
Au wanaogopa kuwaacha wengine waondoke.

Lakini amani ya moyo haiombi ruhusa.
Inahitaji uamuzi.
Kama kuna mahali unasoma hii na unajua kabisa ndicho kinachokutesaโ€ฆ
huenda huu ndio ujumbe uliokuwa unasubiri ili ujikumbushe:
si kila uhusiano unastahili kuvumiliwa. Baadhi unapaswa kuuachia mbali ili ujiponye.

.
.
#amaniyamoyo #uamuzimgumu #maishahalisi #jitambue #healingjourney