Mambo 13 ya aibu ambayo watu hujifunza wakiwa wamechelewa maishani...📌
1. Usishirikishe kila kitu(Usiongee mipango yako mbele za watu). Faragha huleta amani na nguvu.
2. Hata kama unawaamini marafiki na familia, usiwaambie kila jambo.
3. Kisasi bora ni kutokulipa kisasi kabisa. Endelea mbele, furahia maisha, tafuta amani ya ndani, fanikiwa.
4. Ukiwa sahihi, hakuna anayekumbuka. Ukikosea, hakuna anayesahau.
5.Ukisubiri muda sahihi, utapoteza maisha yote bila kufanya chochote.
6. Huna deni la kutoa maelezo au kujitetea kwa kila mtu.
7. Wanaokuchochea kihisia wana nguvu juu yako. Chagua vizuri nani umpatie nguvu hiyo.
8. Acha kujibu kila kitu na kila mtu.
9. Hakuna atakayekuja kukuokoa, kwa sababu una uwezo wa kujiokoa mwenyewe.
10. Huwezi kujijengea taswira nzuri kwa kuharibu taswira ya mwingine.
11. Rafiki wa uongo ni mbaya kuliko adui.
12. Eneo lako la faraja linaweza kuua ndoto zako.
13. Acha kukubali mambo usiyoyaamini.
Kwa leo tuishie hapa familia...
Je , ni point zipi hapa zimekugusa zaidi familia ?
Hebu ruka nazo katika comment hapo 👇
.
.
.
#lifefacts #ukwelimchungu #realtalk #lifelessons #motivational #wisdom #growth #foryouシ #viral #tanzania