2 d - āĻ…āύ⧁āĻŦāĻžāĻĻ āĻ•āϰāĻž

𝐔𝐤𝐰𝐞đĨđĸ 𝐌𝐜𝐡𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐀đĻ𝐛𝐚𝐨 𝐖𝐞𝐧𝐠đĸ 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐮𝐤𝐰𝐞𝐩𝐚: 𝐌𝐚đĸđŦ𝐡𝐚 𝐇𝐮𝐛𝐚𝐝đĸđĨđĸ𝐤𝐚 𝐒đĸ𝐤𝐮 𝐔𝐧𝐚𝐩𝐨𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐕đĸđŦ­đĸ𝐧𝐠đĸđŗđĸ𝐨”

Kuna watu wanaendelea mbele kila mwaka.
Na kuna wanaobaki palepale wakilaumu hali, watu, mazingira na bahati.

Tofauti yao si elimu.
Si mtaji.
Si connections.

Tofauti ni hii moja tu:
Mmoja aliamua kubeba majukumu yake yote.
Mwingine akaendelea kutafuta visingizio vya kuchelewesha hatua.

Siku utakapoacha kusema “sikuwa na muda”,
“Sikuwa na support”,
“Nilichelewa kuanza”â€Ļ
Na badala yake useme, “Ni juu yangu,”
ndiyo siku maisha yako yataanza kusogea kwa kasi ambayo hukuwahi kufikiria.
Watu wachache sana wanafika hapa.
Kwa sababu kubeba majukumu ni ngumu.

Lakini kubaki palepale ni gharama kubwa zaidi.
Usije ukawa mmoja wa wale wanaogundua hili wakiwa wamechelewa.

👉Usikose post kama hii — bonyeza follow sasa hivi.
.
.

#chukuahatua #uwajibikaji #achavisingizio #mindsetyamafanik